-
Hesabu 5:22Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
22 Na maji haya yanayoleta laana yataingia kwenye matumbo yako na kulifanya tumbo lako livimbe na paja lako lianguke.” Naye mwanamke huyo atasema: “Amina! Amina!”
-
-
Nehemia 5:13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
13 Pia, nikakung’uta vazi kifuani pangu, nikasema: “Mungu wa kweli na amkung’ute hivi kutoka nyumbani mwake na kutoka katika mali yake kila mtu ambaye hatendi jambo hilo; mtu huyo na akung’utwe hivi na kuwa tupu.” Ndipo kutaniko lote wakasema: “Amina!”+ Nao wakaanza kumsifu Yehova.+ Na watu wakafanya kulingana na neno hilo.+
-