-
Nehemia 5:13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
13 Pia, nikakung’uta vazi langu* na kusema: “Mungu wa kweli na amkung’ute hivi kutoka nyumbani mwake na kutoka katika mali zake kila mwanamume ambaye hatatimiza ahadi hii, na akung’utwe hivi na kubaki bila chochote.” Ndipo kutaniko lote likajibu: “Amina!”* Wakamsifu Yehova, na watu wakafanya kama walivyoahidi.
-