- 
	                        
            
            Nehemia 5:13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
13 Pia, nikakung’uta vazi kifuani pangu, nikasema: “Mungu wa kweli na amkung’ute hivi kutoka nyumbani mwake na kutoka katika mali yake kila mtu ambaye hatendi jambo hilo; mtu huyo na akung’utwe hivi na kuwa tupu.” Ndipo kutaniko lote wakasema: “Amina!”+ Nao wakaanza kumsifu Yehova.+ Na watu wakafanya kulingana na neno hilo.+
 
 -