Zaburi 76:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wekeni nadhiri na kumtimizia Yehova Mungu wenu, ninyi nyote mnaomzunguka pande zote.+Na walete zawadi kwa kuogopa.+ Zaburi 119:106 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 106 Nimetoa ahadi yenye kiapo, nami nitaitimiza,+Kuyashika maamuzi yako ya hukumu ya uadilifu.+ Mhubiri 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ni afadhali usiweke nadhiri,+ kuliko kuiweka na kukosa kuitimiza.+
11 Wekeni nadhiri na kumtimizia Yehova Mungu wenu, ninyi nyote mnaomzunguka pande zote.+Na walete zawadi kwa kuogopa.+