Kutoka 34:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Usijifanyie miungu ya sanamu ya kuyeyushwa.+ Mambo ya Walawi 19:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Msigeukie miungu isiyo na thamani,+ wala msijifanyie miungu ya kuyeyushwa.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu. Hesabu 33:52 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 Nanyi mnapaswa kuwafukuzia mbali wakaaji wote wa nchi hiyo kutoka mbele yenu na kuharibu maumbo yao yote ya mawe,+ nanyi mnapaswa kuziharibu sanamu zao zote za madini ya kuyeyusha,+ na mnapaswa kupaharibu mahali pao pote patakatifu.+
4 Msigeukie miungu isiyo na thamani,+ wala msijifanyie miungu ya kuyeyushwa.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.
52 Nanyi mnapaswa kuwafukuzia mbali wakaaji wote wa nchi hiyo kutoka mbele yenu na kuharibu maumbo yao yote ya mawe,+ nanyi mnapaswa kuziharibu sanamu zao zote za madini ya kuyeyusha,+ na mnapaswa kupaharibu mahali pao pote patakatifu.+