Kutoka 32:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wamegeuka kando haraka kutoka katika njia niliyowaamuru waende.+ Wamejifanyia sanamu ya kuyeyushwa ya ndama na wanaendelea kuiinamia na kuitolea dhabihu na kusema, ‘Huyu ndiye Mungu wako, Ee Israeli, aliyekuongoza kutoka nchi ya Misri.’”+ Mambo ya Walawi 19:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Msigeukie miungu isiyo na thamani,+ wala msijifanyie miungu ya kuyeyushwa.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.
8 Wamegeuka kando haraka kutoka katika njia niliyowaamuru waende.+ Wamejifanyia sanamu ya kuyeyushwa ya ndama na wanaendelea kuiinamia na kuitolea dhabihu na kusema, ‘Huyu ndiye Mungu wako, Ee Israeli, aliyekuongoza kutoka nchi ya Misri.’”+
4 Msigeukie miungu isiyo na thamani,+ wala msijifanyie miungu ya kuyeyushwa.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.