Kutoka 32:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wamegeuka haraka na kuacha njia niliyowaamuru wafuate.+ Wamejitengenezea sanamu* ya ndama, nao wanaendelea kuiinamia na kuitolea dhabihu wakisema, ‘Huyu ndiye Mungu wenu, enyi Waisraeli, aliyewaongoza kutoka katika nchi ya Misri.’” Kutoka Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 32:8 Furahia Maisha Milele!, somo la 44
8 Wamegeuka haraka na kuacha njia niliyowaamuru wafuate.+ Wamejitengenezea sanamu* ya ndama, nao wanaendelea kuiinamia na kuitolea dhabihu wakisema, ‘Huyu ndiye Mungu wenu, enyi Waisraeli, aliyewaongoza kutoka katika nchi ya Misri.’”