Kutoka 32:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wamegeuka kando haraka kutoka katika njia niliyowaamuru waende.+ Wamejifanyia sanamu ya kuyeyushwa ya ndama na wanaendelea kuiinamia na kuitolea dhabihu na kusema, ‘Huyu ndiye Mungu wako, Ee Israeli, aliyekuongoza kutoka nchi ya Misri.’”+ Kutoka Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 32:8 Furahia Maisha Milele!, somo la 44
8 Wamegeuka kando haraka kutoka katika njia niliyowaamuru waende.+ Wamejifanyia sanamu ya kuyeyushwa ya ndama na wanaendelea kuiinamia na kuitolea dhabihu na kusema, ‘Huyu ndiye Mungu wako, Ee Israeli, aliyekuongoza kutoka nchi ya Misri.’”+