Yeremia 2:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Wanauambia mti, ‘Wewe ni baba yangu,’+ Na jiwe, ‘Wewe ulinizaa.’ Lakini wamenigeuzia mimi mgongo wao badala ya uso wao.+ Watakapopatwa na msiba watasema,‘Simama utuokoe!’+
27 Wanauambia mti, ‘Wewe ni baba yangu,’+ Na jiwe, ‘Wewe ulinizaa.’ Lakini wamenigeuzia mimi mgongo wao badala ya uso wao.+ Watakapopatwa na msiba watasema,‘Simama utuokoe!’+