Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 10:13-15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Lakini mliniacha na kuabudu miungu mingine.+ Ndiyo sababu sitawaokoa tena.+ 14 Nendeni mkaililie miungu mliyochagua iwasaidie.+ Na iwaokoe kutoka katika taabu yenu.”+ 15 Lakini Waisraeli wakamwambia Yehova, “Tumetenda dhambi. Tutendee upendavyo. Lakini tunakusihi utuokoe leo hii.”

  • Zaburi 78:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Lakini kila mara alipowaua baadhi yao, waliosalia walimtafuta;+

      Walirudi na kumtafuta Mungu,

  • Zaburi 106:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Tuokoe, Ee Yehova Mungu wetu,+

      Na kutukusanya kutoka katika mataifa+

      Ili tulishukuru jina lako takatifu

      Na tushangilie kukusifu wewe.*+

  • Isaya 26:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ee Yehova, wakati wa taabu walikutafuta;

      Walikumwagia sala yao kwa kunong’ona ulipowatia nidhamu.+

  • Hosea 5:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nitaenda na kurudi mahali pangu mpaka watakapolipia hatia yao,

      Na kisha watatafuta kibali changu.*+

      Watakapokuwa wakiteseka, watanitafuta.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki