7 Kwa hiyo watu wakaja kwa Musa na kumwambia: “Tumetenda dhambi kwa kumnung’unikia Yehova na wewe pia.+ Msihi Yehova atuondolee nyoka hawa.” Basi Musa akamsihi Mungu kwa niaba ya watu.+
3 Waisraeli wakamlilia Yehova+ kwa sababu Yabini alikuwa na magari 900 ya vita yenye miundu ya chuma,*+ na kwa miaka 20 aliwakandamiza sana Waisraeli.+