Zaburi 78:34, 35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Lakini kila mara alipowaua baadhi yao, waliosalia walimtafuta;+Walirudi na kumtafuta Mungu,35 Wakikumbuka kwamba Mungu alikuwa Mwamba wao+Na kwamba Mungu Aliye Juu Zaidi alikuwa Mkombozi* wao.+ Hosea 5:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nitaenda na kurudi mahali pangu mpaka watakapolipia hatia yao,Na kisha watatafuta kibali changu.*+ Watakapokuwa wakiteseka, watanitafuta.”+
34 Lakini kila mara alipowaua baadhi yao, waliosalia walimtafuta;+Walirudi na kumtafuta Mungu,35 Wakikumbuka kwamba Mungu alikuwa Mwamba wao+Na kwamba Mungu Aliye Juu Zaidi alikuwa Mkombozi* wao.+
15 Nitaenda na kurudi mahali pangu mpaka watakapolipia hatia yao,Na kisha watatafuta kibali changu.*+ Watakapokuwa wakiteseka, watanitafuta.”+