Zaburi 79:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Tusaidie, Ee Mungu wa wokovu wetu,+Kwa ajili ya jina lako tukufu;Tuokoe na kutusamehe* dhambi zetu kwa ajili ya jina lako.+
9 Tusaidie, Ee Mungu wa wokovu wetu,+Kwa ajili ya jina lako tukufu;Tuokoe na kutusamehe* dhambi zetu kwa ajili ya jina lako.+