Yeremia 2:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Wanauambia mti, ‘Wewe ni baba yangu,’+ na jiwe, ‘Wewe ulinizaa.’ Lakini mimi wamenigeuzia sehemu ya nyuma ya shingo badala ya uso.+ Na wakati wa msiba wao watasema, ‘Simama utuokoe!’+
27 Wanauambia mti, ‘Wewe ni baba yangu,’+ na jiwe, ‘Wewe ulinizaa.’ Lakini mimi wamenigeuzia sehemu ya nyuma ya shingo badala ya uso.+ Na wakati wa msiba wao watasema, ‘Simama utuokoe!’+