6 Kwa maana baba zetu wametenda kwa ukosefu wa uaminifu+ nao wametenda mabaya machoni pa Yehova Mungu wetu,+ hivi kwamba walimwacha+ na kugeuza nyuso zao kutoka kwenye maskani ya Yehova+ na kumpa visogo vyao.
33 Nao wakaendelea kunipa mimi mgongo wala si uso;+ ingawa walikuwa wakifundishwa, kuamka mapema na kuwafundisha, lakini hakuna hata mmoja wao aliyesikiliza ili kupokea nidhamu.+