Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 2:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Wanauambia mti, ‘Wewe ni baba yangu,’+ na jiwe, ‘Wewe ulinizaa.’ Lakini mimi wamenigeuzia sehemu ya nyuma ya shingo badala ya uso.+ Na wakati wa msiba wao watasema, ‘Simama utuokoe!’+

  • Ezekieli 8:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa hiyo akanileta katika ua wa ndani wa nyumba ya Yehova,+ na, tazama! kwenye mwingilio wa hekalu la Yehova, katikati ya ukumbi na madhabahu,+ kulikuwa na wanaume 25+ hivi migongo yao ikielekea hekalu la Yehova+ na nyuso zao zikielekea mashariki, nao walikuwa wameelekea mashariki, wakiliinamia jua.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki