Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 10:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Lakini wana wa Israeli wakamwambia Yehova: “Tumetenda dhambi.+ Wewe mwenyewe ututendee kulingana na lolote lililo jema machoni pako.+ Lakini tafadhali, utukomboe tu leo hii.”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 20:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 ‘Tukipatwa na msiba,+ upanga, hukumu mbaya, au tauni+ au njaa,+ acheni tusimame mbele ya nyumba hii+ na mbele zako (kwa maana jina lako+ limo katika nyumba hii), ili tukuombe msaada ili kutuondoa katika taabu yetu, nawe usikie na kuokoa.’+

  • Zaburi 78:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Kadiri alivyowaua ndivyo pia walivyouliza habari zake,+

      Nao wakarudi na kumtafuta Mungu.+

  • Zaburi 106:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Utuokoe, Ee Yehova Mungu wetu,+

      Na utukusanye pamoja kutoka kwa mataifa+

      Ili tulishukuru jina lako takatifu,+

      Ili tukusifu kwa shangwe.+

  • Isaya 26:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ee Yehova, wakati wa taabu wamekuelekezea fikira zao;+ wametoa mnong’ono wa sala walipopata nidhamu+ yako.

  • Hosea 5:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nitaenda, nitarudi mahali pangu mpaka watakapoibeba hatia yao;+ nao hakika watautafuta uso wangu.+ Watanitafuta,+ wanapokuwa katika dhiki kali.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki