- 
	                        
            
            Waamuzi 10:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        8 Kwa hiyo wakawavunja-vunja na kuwakandamiza sana wana wa Israeli mwaka huo—kwa miaka kumi na minane wana wote wa Israeli waliokuwa ng’ambo ya Yordani katika nchi ya Waamori iliyokuwa katika Gileadi. 
 
-