1 Mambo ya Nyakati 16:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Na mseme, ‘Utuokoe, Ee Mungu wa wokovu wetu,+Na utukusanye pamoja na kutukomboa kutoka kwa mataifa,+Ili tulishukuru jina lako takatifu,+ ili tukusifu kwa shangwe.+ Zaburi 79:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Utusaidie, Ee Mungu wa wokovu wetu,+Kwa ajili ya utukufu wa jina lako;+Na utukomboe na kufunika dhambi zetu kwa sababu ya jina lako.+
35 Na mseme, ‘Utuokoe, Ee Mungu wa wokovu wetu,+Na utukusanye pamoja na kutukomboa kutoka kwa mataifa,+Ili tulishukuru jina lako takatifu,+ ili tukusifu kwa shangwe.+
9 Utusaidie, Ee Mungu wa wokovu wetu,+Kwa ajili ya utukufu wa jina lako;+Na utukomboe na kufunika dhambi zetu kwa sababu ya jina lako.+