Zaburi 103:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 103 Mbariki Yehova, Ee nafsi yangu,+Naam, kila kitu kilicho ndani yangu, na kilibariki jina lake takatifu.+ Zaburi 105:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Jisifuni katika jina lake takatifu.+Moyo wa wale wanaomtafuta Yehova na ushangilie.+
103 Mbariki Yehova, Ee nafsi yangu,+Naam, kila kitu kilicho ndani yangu, na kilibariki jina lake takatifu.+