Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 36:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Lakini waliendelea kuwadhihaki+ wale wajumbe wa Mungu wa kweli na kuyadharau maneno+ yake na kuwafanyia mzaha+ manabii wake, mpaka ghadhabu+ ya Yehova ikapanda juu ya watu wake, mpaka kukawa hakuna kuponywa.+

  • Yeremia 7:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na sasa kwa sababu mliendelea kufanya kazi hizi zote,’ asema Yehova, ‘nami nikaendelea kusema nanyi, nikiamka mapema na kusema,+ lakini hamkusikiliza,+ nami nikaendelea kuwaita, lakini hamkujibu,+

  • Yeremia 25:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Tangu mwaka wa 13 wa Yosia+ mwana wa Amoni, mfalme wa Yuda, mpaka leo hii, miaka hii 23, neno la Yehova limenijia, nikaendelea kusema nanyi, nikiamka mapema na kusema, lakini hamkusikiliza.+

  • Yeremia 26:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 kwa kuyasikiliza maneno ya watumishi wangu manabii, ambao ninawatuma kwenu, nikiamka mapema na kuwatuma, ambao hamkuwasikiliza,+

  • Yeremia 35:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nami niliendelea kutuma kwenu watumishi wangu wote manabii,+ nikiamka mapema na kuwatuma, na kusema, ‘Tafadhali rudini, kila mmoja kutoka katika njia yake mbaya,+ nanyi fanyeni matendo yenu kuwa mema,+ wala msiifuate miungu mingine ili kuitumikia.+ Na mwendelee kukaa katika nchi ambayo nimewapa ninyi na mababu zenu.’+ Lakini hamkutega sikio lenu, wala hamkunisikiliza.+

  • Yeremia 44:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Lakini hawakusikiliza,+ wala hawakutega sikio lao ili kurudi kutoka katika ubaya wao kwa kutoifukizia miungu mingine moshi wa dhabihu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki