6 Kwa maana baba zetu wamekosa uaminifu nao wametenda maovu machoni pa Yehova Mungu wetu.+ Walimwacha na kugeuza nyuso zao mbali na hema la ibada la Yehova na kumgeuzia mgongo.+
33 Waliendelea kunigeuzia migongo yao, si nyuso zao;+ ingawa nilijaribu kuwafundisha tena na tena,* hakuna hata mmoja wao aliyesikiliza ili kupokea nidhamu.+