2 Mambo ya Nyakati 29:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana baba zetu wamekosa uaminifu nao wametenda maovu machoni pa Yehova Mungu wetu.+ Walimwacha na kugeuza nyuso zao mbali na hema la ibada la Yehova na kumgeuzia mgongo.+ Yeremia 2:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Wanauambia mti, ‘Wewe ni baba yangu,’+ Na jiwe, ‘Wewe ulinizaa.’ Lakini wamenigeuzia mimi mgongo wao badala ya uso wao.+ Watakapopatwa na msiba watasema,‘Simama utuokoe!’+
6 Kwa maana baba zetu wamekosa uaminifu nao wametenda maovu machoni pa Yehova Mungu wetu.+ Walimwacha na kugeuza nyuso zao mbali na hema la ibada la Yehova na kumgeuzia mgongo.+
27 Wanauambia mti, ‘Wewe ni baba yangu,’+ Na jiwe, ‘Wewe ulinizaa.’ Lakini wamenigeuzia mimi mgongo wao badala ya uso wao.+ Watakapopatwa na msiba watasema,‘Simama utuokoe!’+