Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 2:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Wanauambia mti, ‘Wewe ni baba yangu,’+

      Na jiwe, ‘Wewe ulinizaa.’

      Lakini wamenigeuzia mimi mgongo wao badala ya uso wao.+

      Watakapopatwa na msiba watasema,

      ‘Simama utuokoe!’+

  • Ezekieli 8:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Basi akanileta katika ua wa ndani wa nyumba ya Yehova.+ Hapo kwenye mlango wa hekalu la Yehova, katikati ya ukumbi na madhabahu, kulikuwa na wanaume 25 hivi ambao migongo yao ilielekea hekalu la Yehova na nyuso zao zilitazama mashariki; nao walikuwa wakiliinamia jua kuelekea mashariki.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki