Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nenda, nawe uitangazie kaskazini+ maneno haya na kusema:

      “‘“Rudi, Ee Israeli mwenye kuasi,” asema Yehova.’+ ‘ “Sitawatazama ninyi kwa hasira,+ kwa maana mimi ni mshikamanifu,”+ asema Yehova.’ ‘ “Sitaendelea kufungia kinyongo mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Hosea 14:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Ee Israeli, rudi kwa Yehova Mungu wako,+ kwa maana umejikwaa katika kosa lako.+

  • Matendo 2:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Petro akawaambia: “Tubuni,+ na acheni kila mmoja wenu abatizwe+ katika jina+ la Yesu Kristo kwa msamaha+ wa dhambi zenu, nanyi mtapokea zawadi ya bure+ ya roho takatifu.

  • Yakobo 4:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi.+ Safisheni mikono yenu, ninyi watenda-dhambi,+ na takaseni mioyo yenu,+ ninyi wenye kusitasita.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki