Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 22:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa mtu mshikamanifu utatenda kwa ushikamanifu;+

      Kwa mtu asiye na kosa, mwenye nguvu, utatenda kwa njia isiyo na kosa;+

  • Zaburi 18:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kwa mtu mshikamanifu utatenda kwa ushikamanifu;+

      Kwa mwanamume asiye na kosa, wewe utatenda kwa njia isiyo na kosa;+

  • Zaburi 86:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kwa maana wewe, Ee Yehova, ni mwema+ na uko tayari kusamehe;+

      Na fadhili zenye upendo ni nyingi kwa wale wote wanaokuitia.+

  • Ufunuo 15:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ni nani ambaye kwa kweli hatakuogopa wewe,+ Yehova,+ na kulitukuza jina lako,+ kwa sababu wewe peke yako ni mshikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako,+ kwa sababu amri zako za uadilifu zimefunuliwa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki