Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 86:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kwa maana wewe, Ee Yehova, ni mwema+ na uko tayari kusamehe;+

      Na fadhili zenye upendo ni nyingi kwa wale wote wanaokuitia.+

  • Zaburi 103:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Yeye anayesamehe makosa yako yote,+

      Anayeponya magonjwa yako yote,+

  • Isaya 44:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nitayafutilia mbali makosa yako kana kwamba ni kwa wingu,+ na dhambi zako kana kwamba ni kwa wingu kubwa. Rudi kwangu,+ kwa maana nitakukomboa.+

  • Hosea 14:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Chukueni maneno pamoja nanyi mrudi kwa Yehova.+ Mwambieni hivi, enyi nyote, ‘Samehe kosa letu;+ na ukubali lililo jema, nasi tutatoa ng’ombe-dume wachanga wa midomo yetu.+

  • Luka 7:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Kwa hiyo, ninakuambia, dhambi zake, ingawa ni nyingi, zimesamehewa,+ kwa sababu alipenda sana; lakini yule anayesamehewa kidogo, hupenda kidogo.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki