Zaburi 51:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Ee Mungu, unionyeshe kibali kulingana na fadhili zako zenye upendo.+Ufutilie mbali makosa yangu kulingana na wingi wa rehema zako.+ Isaya 43:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Mimi—mimi ndiye Yeye anayefuta+ makosa+ yako kwa ajili yangu mwenyewe,+ na dhambi zako sitazikumbuka.+ Isaya 44:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nitayafutilia mbali makosa yako kana kwamba ni kwa wingu,+ na dhambi zako kana kwamba ni kwa wingu kubwa. Rudi kwangu,+ kwa maana nitakukomboa.+ Luka 7:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Walipokuwa hawana kitu cha kulipa, aliwasamehe+ kwa hiari wote wawili. Kwa hiyo, ni nani kati yao atampenda zaidi?” 1 Timotheo 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini fadhili zisizostahiliwa za Bwana wetu zikawa nyingi+ sana pamoja na imani na upendo ambao ni kuhusiana na Kristo Yesu.+
51 Ee Mungu, unionyeshe kibali kulingana na fadhili zako zenye upendo.+Ufutilie mbali makosa yangu kulingana na wingi wa rehema zako.+
25 “Mimi—mimi ndiye Yeye anayefuta+ makosa+ yako kwa ajili yangu mwenyewe,+ na dhambi zako sitazikumbuka.+
22 Nitayafutilia mbali makosa yako kana kwamba ni kwa wingu,+ na dhambi zako kana kwamba ni kwa wingu kubwa. Rudi kwangu,+ kwa maana nitakukomboa.+
42 Walipokuwa hawana kitu cha kulipa, aliwasamehe+ kwa hiari wote wawili. Kwa hiyo, ni nani kati yao atampenda zaidi?”
14 Lakini fadhili zisizostahiliwa za Bwana wetu zikawa nyingi+ sana pamoja na imani na upendo ambao ni kuhusiana na Kristo Yesu.+