Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 51:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Ee Mungu, unionyeshe kibali kulingana na fadhili zako zenye upendo.+

      Ufutilie mbali makosa yangu kulingana na wingi wa rehema zako.+

  • Isaya 43:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Mimi—mimi ndiye Yeye anayefuta+ makosa+ yako kwa ajili yangu mwenyewe,+ na dhambi zako sitazikumbuka.+

  • Isaya 44:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nitayafutilia mbali makosa yako kana kwamba ni kwa wingu,+ na dhambi zako kana kwamba ni kwa wingu kubwa. Rudi kwangu,+ kwa maana nitakukomboa.+

  • Luka 7:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Walipokuwa hawana kitu cha kulipa, aliwasamehe+ kwa hiari wote wawili. Kwa hiyo, ni nani kati yao atampenda zaidi?”

  • 1 Timotheo 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini fadhili zisizostahiliwa za Bwana wetu zikawa nyingi+ sana pamoja na imani na upendo ambao ni kuhusiana na Kristo Yesu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki