Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 14:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 ‘Yehova, si mwepesi wa hasira+ na ni mwingi wa fadhili zenye upendo,+ anayesamehe kosa na ubaya,+ lakini ambaye kwa vyovyote hatakosa kuadhibu,+ anayeleta adhabu kwa ajili ya kosa la baba juu ya wana, juu ya kizazi cha tatu na juu ya kizazi cha nne.’+

  • Zaburi 25:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Usizikumbuke dhambi za ujana wangu na maasi yangu.+

      Unikumbuke kulingana na fadhili zako zenye upendo,+

      Kwa ajili ya wema wako, Ee Yehova.+

  • Zaburi 32:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mwovu ana maumivu mengi;+

      Lakini mtu anayemtegemea Yehova, fadhili zenye upendo humzingira.+

  • Zaburi 41:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Mimi nami, nilisema: “Ee Yehova, nionyeshe kibali.+

      Uiponye nafsi yangu, kwa maana nimekutendea dhambi.”+

  • Zaburi 90:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Utushibishe asubuhi kwa fadhili zako zenye upendo,+

      Ili tupate kupiga vigelegele kwa shangwe na kufurahi siku zetu zote.+

  • Zaburi 103:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana kama mbingu zilivyo juu kuliko dunia,+

      Ndivyo fadhili zake zenye upendo zilivyo kuu kuwaelekea wale wanaomwogopa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki