Nahumu 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yehova si mwepesi wa hasira+ naye ni mkuu katika nguvu,+ wala hatasita kamwe kuadhibu.+ Njia yake imo katika upepo wenye kuharibu na katika dhoruba, na wingu kubwa ndilo mavumbi ya miguu yake.+ Waroma 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Lakini kulingana na ugumu+ wako na moyo wako usiotubu+ unajiwekea mwenyewe akiba ya ghadhabu+ katika siku ya ghadhabu+ na ya kufunuliwa+ kwa hukumu ya uadilifu ya Mungu.+
3 Yehova si mwepesi wa hasira+ naye ni mkuu katika nguvu,+ wala hatasita kamwe kuadhibu.+ Njia yake imo katika upepo wenye kuharibu na katika dhoruba, na wingu kubwa ndilo mavumbi ya miguu yake.+
5 Lakini kulingana na ugumu+ wako na moyo wako usiotubu+ unajiwekea mwenyewe akiba ya ghadhabu+ katika siku ya ghadhabu+ na ya kufunuliwa+ kwa hukumu ya uadilifu ya Mungu.+