Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 32:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Mwenye furaha ni mtu ambaye amesamehewa maasi yake, ambaye dhambi yake imefunikwa.+

  • Zaburi 103:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Yeye anayesamehe makosa yako yote,+

      Anayeponya magonjwa yako yote,+

  • Isaya 1:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Sasa, njooni, nasi tunyooshe mambo kati yetu,” asema Yehova.+ “Hata dhambi zenu zikiwa nyekundu, zitafanywa kuwa nyeupe kama theluji;+ hata zikiwa nyekundu kama kitambaa chekundu; zitakuwa kama sufu.

  • Mathayo 18:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Akisikitishwa na hayo, bwana wa mtumwa huyo akamwachilia+ na kufuta deni lake.+

  • Luka 7:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Kwa hiyo, ninakuambia, dhambi zake, ingawa ni nyingi, zimesamehewa,+ kwa sababu alipenda sana; lakini yule anayesamehewa kidogo, hupenda kidogo.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki