Zaburi 85:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Umelisamehe kosa la watu wako;+Umeifunika dhambi yao yote.+ Sela. Isaya 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Sasa, njooni, nasi tunyooshe mambo kati yetu,” asema Yehova.+ “Hata dhambi zenu zikiwa nyekundu, zitafanywa kuwa nyeupe kama theluji;+ hata zikiwa nyekundu kama kitambaa chekundu; zitakuwa kama sufu. Matendo 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Kwa hiyo, tubuni+ na mgeuke+ ili dhambi zenu zipate kufutwa,+ ili majira ya kuburudisha+ yapate kuja kutoka kwa uso wa Yehova Waroma 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Wenye furaha ni wale ambao matendo yao ya kuasi sheria yamesamehewa+ na ambao dhambi zao zimefunikwa;+
18 “Sasa, njooni, nasi tunyooshe mambo kati yetu,” asema Yehova.+ “Hata dhambi zenu zikiwa nyekundu, zitafanywa kuwa nyeupe kama theluji;+ hata zikiwa nyekundu kama kitambaa chekundu; zitakuwa kama sufu.
19 “Kwa hiyo, tubuni+ na mgeuke+ ili dhambi zenu zipate kufutwa,+ ili majira ya kuburudisha+ yapate kuja kutoka kwa uso wa Yehova
7 “Wenye furaha ni wale ambao matendo yao ya kuasi sheria yamesamehewa+ na ambao dhambi zao zimefunikwa;+