Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 85:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Umelisamehe kosa la watu wako;+

      Umeifunika dhambi yao yote.+ Sela.

  • Isaya 1:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Sasa, njooni, nasi tunyooshe mambo kati yetu,” asema Yehova.+ “Hata dhambi zenu zikiwa nyekundu, zitafanywa kuwa nyeupe kama theluji;+ hata zikiwa nyekundu kama kitambaa chekundu; zitakuwa kama sufu.

  • Matendo 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Kwa hiyo, tubuni+ na mgeuke+ ili dhambi zenu zipate kufutwa,+ ili majira ya kuburudisha+ yapate kuja kutoka kwa uso wa Yehova

  • Waroma 4:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Wenye furaha ni wale ambao matendo yao ya kuasi sheria yamesamehewa+ na ambao dhambi zao zimefunikwa;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki