Ezekieli 33:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hakuna yoyote kati ya dhambi zake alizozitenda itakayokumbukwa juu yake.+ Yeye ameendelea kutenda haki na uadilifu. Hakika ataendelea kuishi.’+ 1 Yohana 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hata hivyo, ikiwa tunatembea katika nuru kama yeye mwenyewe alivyo katika nuru,+ tuna ushirika sisi kwa sisi,+ na damu+ ya Yesu Mwana wake hutusafisha+ kutoka katika dhambi yote.+
16 Hakuna yoyote kati ya dhambi zake alizozitenda itakayokumbukwa juu yake.+ Yeye ameendelea kutenda haki na uadilifu. Hakika ataendelea kuishi.’+
7 Hata hivyo, ikiwa tunatembea katika nuru kama yeye mwenyewe alivyo katika nuru,+ tuna ushirika sisi kwa sisi,+ na damu+ ya Yesu Mwana wake hutusafisha+ kutoka katika dhambi yote.+