Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 5:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “‘Na itakuwa kwamba ikiwa anakuwa na hatia kwa sababu ya moja kati ya mambo hayo, ndipo atakapoungama+ jinsi ambavyo ametenda dhambi.

  • 2 Samweli 12:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Basi Daudi akamwambia+ Nathani: “Nimemtendea Yehova dhambi.”+ Kwa hiyo Nathani akamwambia Daudi: “Yehova naye ameacha dhambi yako ipite.+ Hutakufa.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 30:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Tena Hezekia akasema kwa moyo+ wa Walawi wote waliokuwa wakitenda kwa busara njema kumwelekea Yehova.+ Nao wakala sherehe rasmi kwa siku saba,+ wakitoa dhabihu za ushirika+ na kuungama+ kwa Yehova Mungu wa mababu zao.

  • Zaburi 38:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa maana nilisema juu ya kosa langu mwenyewe;+

      Nikaanza kuhangaikia dhambi yangu.+

  • Zaburi 41:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Mimi nami, nilisema: “Ee Yehova, nionyeshe kibali.+

      Uiponye nafsi yangu, kwa maana nimekutendea dhambi.”+

  • Mathayo 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 naye akawabatiza watu katika Mto Yordani,+ wakiungama waziwazi dhambi zao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki