Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Na hakika wao wataungama kosa lao wenyewe+ na kosa la baba zao katika ukosefu wao wa uaminifu walipojiendesha kwa njia isiyo ya uaminifu kunielekea mimi, naam, wakati ambapo walitembea kwa kunipinga.+

  • Hesabu 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nao lazima waungame+ dhambi yao ambayo wametenda, naye lazima alipie hatia yake kwa ukamili wake, pia aongeze sehemu yake ya tano juu yake,+ naye lazima ampe yule ambaye alimtendea kosa.

  • Yoshua 7:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Ndipo Yoshua akamwambia Akani: “Tafadhali, mwanangu, mpe Yehova Mungu wa Israeli utukufu+ na uungame kwake,+ tafadhali niambie,+ Umefanya nini? Usinifiche+ jambo hili.”

  • Ezra 10:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na sasa ungameni+ kwa Yehova Mungu wa mababu zenu na kufanya mapenzi yake+ na kujitenga na vikundi vya watu wa nchi hii na wake wa kigeni.”+

  • Zaburi 32:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Mwishowe niliungama dhambi yangu kwako, wala sikufunika kosa langu.+

      Nilisema: “Nitaungama makosa yangu kwa Yehova.”+

      Nawe mwenyewe ukanisamehe kosa la dhambi zangu.+ Sela.

  • Methali 28:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Anayefunika makosa yake hatafanikiwa,+ lakini yeye anayeyaungama na kuyaacha ataonyeshwa rehema.+

  • 1 Yohana 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Tukiungama dhambi zetu,+ yeye ni mwaminifu na mwadilifu hata atusamehe dhambi zetu na kutusafisha ukosefu wote wa uadilifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki