1 Samweli 14:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Kisha Sauli akamwambia Yonathani: “Niambie, Umefanya nini?”+ Basi Yonathani akamwambia na kusema: “Kwa kweli nilionja asali kidogo kwenye ncha ya fimbo iliyo mkononi mwangu.+ Mimi hapa! Na nife!” Methali 28:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Anayefunika makosa yake hatafanikiwa,+ lakini yeye anayeyaungama na kuyaacha ataonyeshwa rehema.+
43 Kisha Sauli akamwambia Yonathani: “Niambie, Umefanya nini?”+ Basi Yonathani akamwambia na kusema: “Kwa kweli nilionja asali kidogo kwenye ncha ya fimbo iliyo mkononi mwangu.+ Mimi hapa! Na nife!”