1 Samweli 14:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Halafu Sauli akamuuliza Yonathani: “Niambie, umefanya nini?” Yonathani akamwambia: “Nilionja tu asali kidogo kwa ncha ya fimbo iliyo mikononi mwangu.+ Nipo hapa! Niko tayari kufa!”
43 Halafu Sauli akamuuliza Yonathani: “Niambie, umefanya nini?” Yonathani akamwambia: “Nilionja tu asali kidogo kwa ncha ya fimbo iliyo mikononi mwangu.+ Nipo hapa! Niko tayari kufa!”