Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 32:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Mwishowe niliungama dhambi yangu kwako, wala sikufunika kosa langu.+

      Nilisema: “Nitaungama makosa yangu kwa Yehova.”+

      Nawe mwenyewe ukanisamehe kosa la dhambi zangu.+ Sela.

  • Zaburi 51:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Dhidi yako wewe, wewe peke yako, nimetenda dhambi,+

      Nami nimefanya lililo baya machoni pako,+

      Ili uwe mwadilifu unapoongea,+

      Ili usiwe na lawama unapohukumu.+

  • 1 Timotheo 5:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Dhambi za watu wengine huwa wazi+ mbele ya watu wote, zikiongoza moja kwa moja kwenye hukumu, lakini kwa habari ya watu wengine pia dhambi zao huwa wazi baadaye.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki