Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 29:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mkate hamkula,+ na divai na kileo hamkunywa, ili mjue kwamba mimi ni Yehova Mungu wenu.’

  • Zaburi 9:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Yehova anajulikana kwa hukumu ambayo ametekeleza.+

      Mwovu amenaswa na utendaji wa mikono yake mwenyewe.+

      Higayoni. Sela.

  • Danieli 4:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Nawe watakufukuzia mbali kutoka kati ya wanadamu, na makao yako yatakuwa pamoja na wanyama wa mwituni,+ nao watakupa majani ule kama ng’ombe,+ nawe utalowana maji kwa umande wa mbinguni, na nyakati saba+ zitapita juu yako, mpaka ujue ya kuwa Aliye Juu Zaidi ni Mtawala katika ufalme wa wanadamu,+ na kwamba humpa yeyote yule amtakaye ufalme huo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki