Isaya 42:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Hataponda tete lililovunjika;+ wala hatazima utambi wa kitani unaofifia. Ataleta haki katika ukweli.+ Mathayo 12:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Hakuna tete lililovunjika ambalo ataliponda, na hakuna utambi wa kitani unaotoa moshi atakaouzima,+ mpaka atakapoileta haki+ kwa mafanikio.
3 Hataponda tete lililovunjika;+ wala hatazima utambi wa kitani unaofifia. Ataleta haki katika ukweli.+
20 Hakuna tete lililovunjika ambalo ataliponda, na hakuna utambi wa kitani unaotoa moshi atakaouzima,+ mpaka atakapoileta haki+ kwa mafanikio.