Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 72:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Na atetee kesi ya watu wako kwa uadilifu+

      Na ya watu wako wenye kuteseka kwa hukumu.+

  • Isaya 11:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 naye atakuwa na shangwe katika kumwogopa Yehova.+

      Na hatahukumu kulingana na sura inayoonekana kwa macho yake tu, wala kukaripia kulingana tu na jambo lililosikiwa na masikio yake.+

  • Mathayo 12:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Hakuna tete lililovunjika ambalo ataliponda, na hakuna utambi wa kitani unaotoa moshi atakaouzima,+ mpaka atakapoileta haki+ kwa mafanikio.

  • Yohana 5:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Mimi siwezi kufanya lolote kwa uamuzi wangu mwenyewe; kama vile ninavyosikia, ndivyo ninavyohukumu; na hukumu ninayotoa ni ya uadilifu,+ kwa sababu ninatafuta, si mapenzi yangu mwenyewe, bali mapenzi+ yake aliyenituma.

  • Ufunuo 19:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nami nikaona mbingu imefunguliwa, na, tazama! farasi mweupe.+ Na yeye aliyeketi juu yake anaitwa Mwaminifu+ na wa Kweli,+ naye anahukumu na kufanya vita kwa uadilifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki