Kutoka 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+Ni nani aliye kama wewe, unayejionyesha kuwa mwenye nguvu katika utakatifu?+Unayestahili kuogopwa+ kwa nyimbo za sifa,+ Unayefanya mambo ya ajabu.+ Zaburi 99:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na walisifu jina lako.+Ni kuu na lenye kuogopesha, ni takatifu.+ Luka 1:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 kwa sababu Mwenye nguvu amenitendea makuu, nalo jina lake ni takatifu;+
11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+Ni nani aliye kama wewe, unayejionyesha kuwa mwenye nguvu katika utakatifu?+Unayestahili kuogopwa+ kwa nyimbo za sifa,+ Unayefanya mambo ya ajabu.+