Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 7:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Usishtuke kwa sababu yao, kwa maana Yehova Mungu wako yuko katikati yako,+ Mungu mkuu na mwenye kuogopesha.+

  • Kumbukumbu la Torati 28:58
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 58 “Ikiwa hutakuwa mwangalifu kutimiza maneno yote ya sheria hii ambayo yameandikwa katika kitabu+ hiki ili kuliogopa hili jina tukufu+ na lenye kuogopesha,+ naam,Yehova,+ Mungu wako,

  • Nehemia 9:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 “Na sasa, Ee Mungu wetu, Mungu mkuu,+ mwenye nguvu+ na mwenye kuogopesha,+ anayeshika agano+ na fadhili zenye upendo,+ usiache magumu yote ambayo yametupata sisi,+ wafalme+ wetu, wakuu+ wetu na makuhani+ wetu na manabii+ wetu na mababu+ zetu na watu wako wote tangu siku za wafalme wa Ashuru mpaka leo hii,+ yaonekane kuwa madogo mbele zako.+

  • Zaburi 8:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ee Yehova Bwana wetu, jina lako ni lenye utukufu kama nini katika dunia yote,+

      Wewe ambaye utukufu wako unasimuliwa juu ya mbingu!+

  • Zaburi 66:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Mwambieni Mungu: “Jinsi kazi zako zilivyo zenye kuogopesha!+

      Kwa sababu ya wingi wa nguvu zako, adui zako watakujia wakitetemeka.+

  • Zaburi 148:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na walisifu jina la Yehova,+

      Kwa maana jina lake peke yake liko juu sana lisiweze kufikiwa.+

      Utukufu wake uko juu ya dunia na mbingu.+

  • Isaya 29:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 kwa maana wakati anapowaona watoto wake, kazi ya mikono yangu, katikati yake,+ watalitakasa jina langu,+ nao hakika watamtakasa Mtakatifu wa Yakobo,+ nao watamheshimu Mungu wa Israeli.+

  • Ufunuo 15:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ni nani ambaye kwa kweli hatakuogopa wewe,+ Yehova,+ na kulitukuza jina lako,+ kwa sababu wewe peke yako ni mshikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako,+ kwa sababu amri zako za uadilifu zimefunuliwa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki