11 Tena Mungu akamwambia: “Mimi ni Mungu Mweza-Yote.+ Zaa uongezeke. Mataifa na kutaniko la mataifa yatatoka ndani yako, na wafalme watatoka viunoni mwako.+
8 Hiyo ndiyo sababu katika siku moja mapigo+ yake yatakuja, kifo na kuomboleza na njaa, naye atateketezwa kabisa kwa moto,+ kwa sababu Yehova Mungu, aliyemhukumu, ni mwenye nguvu.+