14 Hata wakuu wote wa makuhani+ na watu wenyewe wakatenda kwa ukosefu wa uaminifu kwa kiasi kikubwa, kulingana na machukizo+ yote ya mataifa, hivi kwamba wakaitia unajisi nyumba ya Yehova aliyokuwa ameitakasa katika Yerusalemu.+
19 yaani, wakuu wa Yuda na wakuu wa Yerusalemu,+ maofisa wa makao ya mfalme na makuhani na watu wote wa nchi waliopita katikati ya vile vipande vya ndama—