4 Nikaanza kusali kwa Yehova Mungu wangu, na kuungama na kusema:+
“Ah, Yehova Mungu wa kweli, aliye Mkuu+ na Mwenye kuogopesha, anayeshika agano+ na fadhili zenye upendo+ kwa wale wanaompenda na kwa wale wanaoshika amri zake,+
18 Ni nani aliye Mungu kama wewe,+ anayesamehe kosa na kuuachilia ukosaji+ wa mabaki ya urithi wake?+ Hatashikilia hasira yake milele, kwa maana yeye hupendezwa na fadhili zenye upendo.+