Danieli 9:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nilisali kwa Yehova Mungu wangu, nikaungama na kusema: “Ee Yehova Mungu wa kweli, Mungu mkuu na Mwenye kuogopesha, unayeshika agano lako na kuwatendea kwa upendo mshikamanifu+ wale wanaokupenda na kushika amri zako,+
4 Nilisali kwa Yehova Mungu wangu, nikaungama na kusema: “Ee Yehova Mungu wa kweli, Mungu mkuu na Mwenye kuogopesha, unayeshika agano lako na kuwatendea kwa upendo mshikamanifu+ wale wanaokupenda na kushika amri zako,+