Danieli 9:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nikaanza kusali kwa Yehova Mungu wangu, na kuungama na kusema:+ “Ah, Yehova Mungu wa kweli, aliye Mkuu+ na Mwenye kuogopesha, anayeshika agano+ na fadhili zenye upendo+ kwa wale wanaompenda na kwa wale wanaoshika amri zake,+
4 Nikaanza kusali kwa Yehova Mungu wangu, na kuungama na kusema:+ “Ah, Yehova Mungu wa kweli, aliye Mkuu+ na Mwenye kuogopesha, anayeshika agano+ na fadhili zenye upendo+ kwa wale wanaompenda na kwa wale wanaoshika amri zake,+