Kutoka 34:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na Yehova akapita karibu mbele ya uso wake na kutangaza: “Yehova, Yehova, Mungu mwenye rehema+ na neema,+ si mwepesi wa hasira+ naye ni mwingi wa fadhili zenye upendo+ na kweli,+ Zaburi 40:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wewe mwenyewe, Ee Yehova, usinizuilie huruma zako.+Fadhili zako zenye upendo na ukweli wako zinilinde daima.+
6 Na Yehova akapita karibu mbele ya uso wake na kutangaza: “Yehova, Yehova, Mungu mwenye rehema+ na neema,+ si mwepesi wa hasira+ naye ni mwingi wa fadhili zenye upendo+ na kweli,+
11 Wewe mwenyewe, Ee Yehova, usinizuilie huruma zako.+Fadhili zako zenye upendo na ukweli wako zinilinde daima.+