Zaburi 31:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Naikabidhi roho yangu mkononi mwako.+Umenikomboa,+ Ee Yehova Mungu wa ukweli.+ Waroma 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Sasa tunajua kwamba, kupatana na kweli,+ hukumu ya Mungu iko juu ya wale walio na mazoea ya kufanya mambo ya namna hiyo.
2 Sasa tunajua kwamba, kupatana na kweli,+ hukumu ya Mungu iko juu ya wale walio na mazoea ya kufanya mambo ya namna hiyo.